24/07/2022
Mbinu Kuu za Kuweka Bei Sahihi Itakayofanya Uuze Zaidi.
____1. Bei Ya Kupenyea Kwenye Soko.
Bei hii hutumika k**a unataka kuingiza bidhaa mpya sokoni au kuingia kwenye soko ambalo haujawahi kuwepo kabisa.
Unaweza kuweka bei hii kwa njia zifuatazo:
a. Kutumia Break Even/Production Cost:
Hapa unauza bila faida na bila hasara. Unaweka bei sawasawa na ile ya gharama za kuzalishia bidhaa husika.
Hapa nia kubwa ni kufanya bidhaa yako ijulikane kwa haraka kwa kuwa rahisi kununuliwa sokoni.
b. Unaweka Faida Kidogo Sana:
Hapa unaweka bei zaidi ya gharama za uzalishaji, ila bei yako inakuwa ndogo sana ukilinganisha na watu wengine wanaouza bidhaa k**a za kwako sokoni.
Mara nyingi bei hii sio ya kudumu, unaanza nayo na kisha baada ya muda baada ya watu kutumia kwa muda fulani.
Tunaanza kuiongeza bei ya bidhaa/huduma taratibu taratibu hadi utafika bei ya kupata faida unayoitaka.
Faida ya kutumia mbinu hii ni kuwa utavutia watu wengi haraka sana pale ambapo unaanza kuitumia.
Hasara yake ni kuwa utakapoanza kuongeza bei, k**a utaongeza kwa haraka watu watakukimbia baadaye.
Falsafa ya kutumia bei hii ni kuwa badala ya kuweka gharama kubwa kwenye matangazo, unaamua ile faida ndogo unayopata/uliyoipoteza ndio inakuwa gharama yako ya matangazo kwa kuvutia wateja.
Kujifunza kwa kina zaidi nashauri usome eBooks zangu zinazohusu Biashara.
1. Mbinu Za Kuuza Zaidi.
2. Saikolojia Ya Mteja.
3. Hatua 6 Za Kujiajiri, Jinsi Ya Kujiingizia Kipato Kwa Kazi Yako Mwenyewe.
4. Mbinu Za Kuongeza Kipato Chako.
5. Money Formula, Elimu Ya Fedha Isiyofundishwa Shuleni.
6. Namna Ya Kuondokana Na Madeni.
7. Nifanye Biashara Gani?
8. Tabia 12 Zinazoleta Mafanikio.
9. Mafanikio Ya Kifedha Kwa Wanandoa.
10. Ishinde Tabia Ya Kughairisha Mambo.
Thamani ya eBooks hizi zote ni zaidi ya Tsh 50,000.00
Ila leo nitakupa eBooks hizi zote kwa Tsh 10,000 Tu! kupitia Whatsapp yako ukiwa popte duniani
Kuipata eBooks hizi SASA HIVI
Tuma Tsh 10,000 Tu!
Kwenda M-PESA
0742 112 946 (Joel Nanauka)
Kisha tuma uthibitisho wa muamala na neno "BIASHARA BANDO"
Kwenda Whatsapp 0742 112 946
Ndani ya masaa 24 utatumiwa eBook yako kupitia Whatsapp
Na kwakuwa naamini eBooks zangu zitakusaidia nakupa 7 Days 100% Money Back Guarantee
Zinunue, Zisome ndani ya siku 7
K**a haijakusaidia kabisa wasiliana na team yangu whatsapp 0742 112 946 tutakurudishia fedha yako yote.