Tanga Tanzania

Tanga Tanzania Mpiga picha kutoka mkowa wa Tanga, karibu Tanga Tanzania
(5)

07/06/2026

Zimebaki siku 3 kuelekea Pambano la ubingwa wa Dunia wa IBO Middleweight kati ya Hassan Mwakinyo na Michel Soro, Juni 10, ! litarushwa mubashara na DSTV kupitia cheneli namba 227 (SS Africa 1) kuanzia saa 4:00 usiku. pambano kubwa na lakihistoria

06/06/2026
mbuyuni wilaya ya mkinga, Tanga Tanzania barabara ya Mombasa.
05/06/2026

mbuyuni wilaya ya mkinga, Tanga Tanzania barabara ya Mombasa.

05/06/2026

Palmers body oil
Hizi ni body oil nzuri sana zinazofanya kazi vizuri sana kwenye
✅ Inasaidia ngozi kuwa na unyevu unyevu wa kutosha
✅ Inasaidia ngozi kuwa na rangi Moja ya kupendeza
✅ Inasaidia kuondoa madoa na makovu mwili
✅ Inasaidia kuondoa stretch marks
✅ Yananisha ngozi
✅ Yanafanya ngozi kuwa soft na smooth

BeiTsh
Skin therapy oil 60000
Coconut oil 40000
Cocoa butter 45000

Whatsapp call
0718575341

Location

Duka lipo Tanga mjini mkabala na NMB Bank madaraka opposite na muungwana open school

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Ally Mwalimu kuwa Mshauri wa Rais anayeshughu...
02/06/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Ally Mwalimu kuwa Mshauri wa Rais anayeshughulikia masuala ya Afya na Ustawi wa Jamii, Mama na Mtoto. Taarifa hiyo imetolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, kupitia Mkurugenzi wake Shaaban Kissu, ikieleza kuwa uteuzi huo umeanza kutumika rasmi kuanzia tarehe ya kutangazwa kwake

RC Tanga  aunda kamati itoe majibu ndani ya siku 5Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi, Dk. Batilda Buriani, ameunda Kamati maa...
31/05/2026

RC Tanga aunda kamati itoe majibu ndani ya siku 5

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi, Dk. Batilda Buriani, ameunda Kamati maalumu kubaini tukio la kubomolewa makazi ya wananchi eneo la Msakangoto (maisha plus), kata ya Kigombe, jijini Tanga na kusababisha madhara hasa kwa wazee na watoto.

Pia, Dk. Buriani ametoa siku tano kwa kamati hiyo kutoa majibu kuhusu kibali cha kubomoa nyumba za wananchi kimetoka kwa nani, kwakuwa hakuna taarifa zozote za kiongozi wa serikali, mbali ya kuwa amri imetoka mahakamani.

Amesema, mnamo Mei 22. mwaka huu, Dalali wa Mahakama, bila kushirikisha uongozi wowote, alichukua jukumu na kwenda kubomoa makazi hayo, jambo siyo la kiungwana na limeleta mtafaruku kwa wananchi.

Imeandikwa na Hamida Kamchallah, Tanga

Address

Mikanjuni
Tanga
122

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanga Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share