Simulizi Za Kweli

Simulizi Za Kweli SIMULIZI ZA UKWELI HUWAKIKA

MATANGAZO NA USHAURI VIPO

KARIBU KWENYR PAGE HII YA za kweli

24/05/2026

Hivi Kuna mtu amewahi Kulipa 5000 Kwa wale Wadada Wa Video Call, Vipi ulifanikiwa Kuona?

Kuna nini kwani huko 😂
07/05/2026

Kuna nini kwani huko 😂

Mamaeee...Siku Moja nimesafiri nimefikia Lodge Moja Hivi Jina Kapuni ,Mamaeee...mara nkaona kuna mgeni anaingia pale msi...
07/05/2026

Mamaeee...Siku Moja nimesafiri nimefikia Lodge Moja Hivi Jina Kapuni ,Mamaeee...mara nkaona kuna mgeni anaingia pale msichana Alikua mtoto flan mbichi sana.

Basi Nikawa namchora tu nyendo zake mara nkaanza kumuona yupo karibu sana na muhudumu wa gest ikabidi nimuulize dada huyu mtoto ni ndugu yako akanijib hapana ni mteja k**a wewe analala hapa kesho anaenda shule.✍️

Mamaee,nkasema enheee sasa hapa pazur nkamwambia bas mwambie nimemwelewa kinoma, basi dada akacheka akasema mtoto mdogo bhana mwache aende zake shule. Nikasema mamaee..acha niingie rasmi kwenye hii vita ya Ukrein na Urus.

Ilipofika around saa 1 jion nkatoka kwenda kuchukua chakula nikamchukulia na yule dada bila hata kuagizwa, uzur chumba chake nilikifaham nikagonga akafungua nkamwambia nmekuletea chakula maana nmeona muda mrefu upo na wakat wa kula umewadia.

Akacheka akasema asante nmekula jion hii hii. Nkamlaghai nkamwambia chukua bhana hizi chips na nyama ya mbuz nmekuletea wewe, kwa chakula km hchi mwanafunz hawez kuruka bas akachukua nkasema bas acha nkakuchukulie na maji ya kunywa. Manina..Nkaenda kununua maji kurud nakuta katoka nje yupo na yule dada wananisengenya..kimoyo Moyo Nikasema Madak0 yenu Yana Upele..

Nlipofika karib dada akanipisha kasema ngoja niwaache muongee wenyewe..mamae nikakabidhi maji ya chupa mtoto akaniambia bas anaenda kula ili alale maana kesho yake anaondoka na gari ya saa 12 asubuh.

Nkamwambia bas nije tupige stor si unajua nami hapa ni mgeni so acha tupige stor mbili tatu. Akachomoa ila mwisho akakubal. Bas nkaenda room kwake ikawa nmekaa kwenye kochi huku yeye akiwa amekaa kitandan huku anakula, mi nlikua busy na TV na huku jicho flan liko kwake.

Tumepiga stor asee mpaka around saa 5 hv mtoto ananiambia anataka kulala, sasa km unavyojua barid nkasema jaman kwa baridi ya huku mi hata kulala mwenyew nashindwa akacheka akaniuliza siku zote unalala na nan nkamwambia nmekuja tu jana na usiku nlikereka sana.

Mamaee.. stor mbili tatu nkazima taaa nkamwambia tulale wo

Kuna tukio la utapeli limetokea Bariadi mkoani Simiyu vijana waliojifanya wataalamu kutoka kampuni za simu wakiwa wameva...
01/05/2026

Kuna tukio la utapeli limetokea Bariadi mkoani Simiyu vijana waliojifanya wataalamu kutoka kampuni za simu wakiwa wamevalia Tisheti zenye majina ya makampuni hayo wamefika kwenye kibanda cha uwakala na kumkuta binti ambaye walimwambia wao ni wataalamu kutoka makampuni hayo na wanatembelea watoa huduma za miamala ili kuwaboreshea laini zao za uwakala

Wakamwambia binti awape namba ya simu ya boss wake waongee nae, wakampigia wakamuuliza tu kwa ufupi wewe ndio fulani mmiliki wa kibanda hiki cha uwakala alivyoongea kuwajibu wakaongea nae k**a salamu za kawaida kwa watoa huduma wakakata simu kisha wakamwambia binti tayari boss wako ameelewa maelekezo tuliyompa atapiga simu akupe maelekezo sasa hivi

Kumbe sauti ya boss wameshaikopi kwenye mfumo wa AI hatimaye wakapigiana kwa sauti ya boss wake na kumpa simu aongee nae binti huyo akawa anaskia sauti ya boss wake kabisa na kupokea maelekezo kwamba "Wape namba za siri hao jamaa na laini za miamala wafanye hayo marekebisho tu nshaongea nao ondoa wasiwasi"

Binti akawapa jamaa wameiba shilingi laki tano

NB: Tukio hili limemkuta mtu wangu wa karibu kabisa, sio stori

Mnaofanya biashara ya uwakala chukueni tahadhari, matapeli wamekuja na mbinu mpya wanatumia AI

✍️Dunia Ina mambo

Sio kwa ubaya lakini unakuta mdada hajazaa lakini matiti yalivyomshuka utafikiri Ana nzao 6 hii huwa inatokana na nini w...
17/04/2026

Sio kwa ubaya lakini unakuta mdada hajazaa lakini matiti yalivyomshuka utafikiri Ana nzao 6 hii huwa inatokana na nini wadau?

Mimi huosha vyombo kwa kibanda ya hoteli na Huwa tunaosha vyombo Kwa maji chafu alafu tunapanguza vizuri inakaa safi. Wa...
28/03/2026

Mimi huosha vyombo kwa kibanda ya hoteli na Huwa tunaosha vyombo Kwa maji chafu alafu tunapanguza vizuri inakaa safi. Wakati mwingine vitu k**a vijiko mteja akimaliza kutumia huwa hatuoshi. Tunapanguza tu na kupatia mteja mwingine. Hii hoteli yetu watu wanapenda sana. Karibu customer. Wakati maji hakuna kabisa, hatuoshi vyombo. Ni kupanguza tu na kitambaa

Ety 🤨🤨Mimi vyote kwakweli
25/03/2026

Ety 🤨🤨
Mimi vyote kwakweli

Dada yangu kwakweli Sikukuu Kwa upande wangu imekuwa mbaya sana.Iko hivi Mimi na mke wangu wote ni waislam ila Mimi kwak...
22/03/2026

Dada yangu kwakweli Sikukuu Kwa upande wangu imekuwa mbaya sana.

Iko hivi Mimi na mke wangu wote ni waislam ila Mimi kwakweli huwa sifungi mke wangu yeye huwa anafunga, ilipo karibia kufunga tarehe 16 mwezi wa pili nilimruhusu mke wangu akakae Kwa dada yake mana hatujaoana bado, huwa nafanya hivyo Ili tusizini.

Sasa bwana alhamisi jioni mke wangu Alirudi nyumbani kwangu ila siku hiyo usiku siku fanya naye kitu japo nilikuwa namhitaji sana ila nilijikaza sana Kwa sababu Walisema mwezi haujaonekana.

Sasa usiku wa Kuamkia Leo ikabidi ndo nifanye naye, nilicho kikuta ndo kimefanya niamke na kukutafuta, Yani Nimekuta hali ya uke wa mke wangu ni kubwa mpaka nimesh*tuka kwakweli japo sijamwambia ila ni hali ambayo sikuwahi Kuiona kwake Kwa miaka minne ambayo nimekaa naye kwenye mahusiano na pamoja, Yani ni k**a nilikuwa naelea juu juu hata Ile hamu haipo tena.

Dada sijui nikuelezeje, ila ukweli ni mkubwa sana mpaka wivu umenipanda ila ndo hivyo nashindwa hata nimwulize au nifanyeje.

Nilikuwa na mpango mwezi wa sita tufunge ndoa ila Sasa hii hali imenish*tua, natamani kumwuliza ila Sasa naanzia wapi Yani.

Kuna mdada huko tiktok huyo hapo kwenye picha  kajitokeza ana dai kwamba  yeye ndiyo mama wa huyo mtoto kaandika ujumbe ...
13/03/2026

Kuna mdada huko tiktok huyo hapo kwenye picha kajitokeza ana dai kwamba yeye ndiyo mama wa huyo mtoto kaandika ujumbe huu.​ 👇👇👇👇
"Watanzania Niko mbele yenu kuwaomba msamaha sana tena sana😭😭😭😭 Sina cha kusema Mimi moyo wangu unavuja damu naona aibu Mimi hata kusema mbele yenu😭😭
Mwanangu naomba nimsamehe pia sikutaka kukutupa Mimi baba yako ndiyo chanzo cha yote haya mwanangu😭😭😭 nimeumia sana tena sana Kwa nilichokifanya mwenzako huku naona aibu Mimi😭😭😭". Je, Una maoni gani kuhusu jambo hili? K**a kweli yeye ndiyo muhusika kumtupa mtoto je una hisi kati ya mwanaume na yeye nani mwenye makosa???

Address

Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Simulizi Za Kweli posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share