Kununua VITU USED -Mwanza

Kununua VITU USED -Mwanza ukihitaji kitu chochote sema unataka kuuza kitu sema nipo buhongwa

24/11/2024

Una kitu unachotaka kuuza tuma picha na bei ndugu zangu

17/04/2024

Ezekieli 1:7
Na miguu yao ilikuwa miguu iliyonyoka; na nyayo za miguu yao zilikuwa k**a nyayo za miguu ya ndama; zikimetameta k**a rangi ya shaba iliyosuguliwa sana.
Ibada Ya Kushughulika na Vifungo vya Miguu. Hizi ni hatua za kimaisha, ni Ibada ya Mhimu saana. Wape taarifa na uwapendao kuhudhuria ibada hii Saa 11:00 Jioni Ufufuo na Uzima Nyegezi.

Karibu kanisani ndugu zangu wote wa Mwanza
24/03/2024

Karibu kanisani ndugu zangu wote wa Mwanza

Mnakaribishwa sana
30/09/2023

Mnakaribishwa sana

05/07/2023



Jinsi Mchungaji Alivyoiba hundi(cheque) ya Benki ya $ 25,000.00 Wakati wa Chakula cha jioni katika Nyumba ya Mwanachama

Wanandoa katika kanisa flan walimwalika Mchungaji wa Kanisa lao kwa chakula cha jioni nyumbani kwao.Mchungaji alifurahi Sana na alipomaliza kula, basi akenda zake nyumban kwake.

Ila Baada ya Mchungaji kuondoka, wenzi hao waligundua hundi(cheque) yao imepotea. Mtu huyo alimwambia mkewe; "Nadhani Mchungaji ameiba hundi ya benki iliyo wazi ya $ 25,000.00 ambayo niliiweka hapa kwenye meza ambayo nilikuwa na nia ya kumpa".

Kwa hasira mkewe akasema; “Hmmmm! Wote ni sawa tu. Ikiwa ni wezi, matapeli. Hakuna haja ya kumwalika tena, tokea sasa tutahudhuria Kanisa lingine ”.

Miezi miwili Baadaye, mwanamke huyo alikutana na Mchungaji huyo kwenye barabara fulani na alikuwa na ujasiri wa kutosha kumkabili na akasema: “Habari za asubuhi Mchungaji, umegundua kuwa hatuji Kanisani tena, hii ni kwa sababu tumekukasirikia. Ile Siku uliyokula nyumbani kwetu, kulikuwa na hundi ya benki ya $ 25,000.00 mezani lakini kwa bahati mbaya ilipotea wakati tunakula. Wewe ndiye Mtu pekee uliyezuru nyumba yetu wakati huo ”.

Mchungaji akamwambia, “Ndio, nilichukua hundi hio Nikaiweka ndani ya Biblia yako ili kuepuka kuimwagia mchuzi ”.

Mwanamke huyo alichanganyikiwa sana na akalia huku akimsihi Mchungaji amsamehe.

Kurudi nyumbani kwake, alichukua Biblia na kupata hundi ya benki ambayo ilikuwa imekaa kwa miezi miwili.

Hii ilimaanisha kuwa kwa miezi miwili, alikuwa hajaifungua biblia yake. Kwa miezi miwili, yeye na mumewe walimshtaki Mchungaji asiye na hatia. Kwa miezi miwili, tukio hilo lilikuwa likiwatesa bila sababu.

Ni mara ngapi tunashuku na kuwashtaki watu wengine bila uthibitisho wa kweli, ushahidi au ushuhuda?

Ni mara ngapi unampa mtu jina baya ?

Ni mara ngapi unatafsiri vibaya matendo ya kaka au dada ambayo wao walikua hawana Nia mbaya kwako?

Somo: ikiwa unafikiria ndugu yako amekukosea..mwambie .... muulize ... Mrekebishane kwa upendo.... usiweke kinyongo cha bure.

•Nawapenda sana ndugu zangu

17/06/2022

Friji friji inatafutwa kwa pesa hii 150k owe ya mlango mmoja nzuri be within Mwanza

17/06/2022

Mwenye Ana friji ya 150k arushe pcha zake masharti owe ya mlango mmoja

16/06/2022

Aliye na friji 150k post chap na unakaa within Mwanza Kuna mtu anahitaji

Address

Nyegezi
Mwanza

Telephone

+255754218377

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kununua VITU USED -Mwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kununua VITU USED -Mwanza:

Share

Category