30/09/2024
Inaendelea ilipoishia...
Aidha, kwa makanisa ambayo yanaandaa stakabadhi za zaka, michango nk. product hii inawafaa sana.
>> Delivery notes; k**a wewe unafanya biashara ya jumla mfano t-shirts za jumla, viatu kwa bei ya jumla nk. hivi vitabu vinakufaa sana kwa sababu ni vitabu ambavyo unaeleza quantity ya mzigo ambao umefanya delivery na bei zake. Mfano, umesafirisha t-shirts 100 na bei ya kila t-shirt ni 10,000/= basi delivery note yako itaonesha ni kiasi gani cha mzigo uliosafirishwa, umesafirishwa kwa njia gani na unagharimu kiasi gani.
>> Invoice books; hii ni kwa ajili ya kampuni ambazo zinafanya kazi na hutegemea kulipwa mara baada ya kazi kukamilika. Kwa mfano, kampuni za ujenzi, taasisi za utoaji mafunzo nk. Mnaweza kutumia kitabu hiki kueleza namna kazi ilivyofanyika na malipo yanayotakiwa kulipwa mara baada ya kazi.
Aidha, kitabu hiki kinajumuisha pia taarifa za namna ya kufanya malipo mfano kupitia namba za simu, benki au cash in hand nk.
Hivyo basi, baada ya kufanyia majaribio huduma hizi naomba nizilete kwenu nipate pia baraka zenu k**a sehemu kubwa ya wadau na supporters wakubwa wa products na kampuni yetu kwa ujumla.
Bahati nzuri ni kwamba, products hizi zinauzwa kwa bei poa kabisa na tunatoa OFA kwa wateja 10 wa mwanzo ambao wataplace order zao mara baada ya kusoma andiko hili.
Tunafanya delivery mahala popote nchini Tanzania na gharama zake ni rahisi sana na zinazingatia maisha halisi ya mtanzania.
K**a unataka kuwa sehemu ya wanufaika wa OFA ya products hizi unaweza kuwasiliana na makao makuu ya ofisi yetu ili kuweka order kupitia mawasiliano yafuatayo;
Simu: 0764 987 588
Barua pepe: [email protected]
Mitandao ya kijamii (Facebook & Instagram): Msomi Huru Enterprises
Karibuni sana na Mungu wa mbinguni awabariki sana!