17/08/2023
Unajua kwanini Khalid Aucho kaiteka mitandao kuliko hata Ubingwa Ngao ya jamii.
ℹNi kiungo Ambaye hatajwi kwenye tuzo za Viungo bora lakin ni moja ya kiungo mgumu sana eneo la kati anayeweza kuamuru timu yake icheze veep.
ℹUwezo wake wa Ku Control mchezo ni wa hali ya juu sana,Yeye ndiye anaamua sasa timu icheze kwa Tembo gani huyu ndo The Tank.
ℹDoctor Aucho sio mtu wakukumbatia mpira yeye ni mzee wa Kupokea na kusambaza "Tafsiri ya one Touch football" k**a unataka kuamin ilo kaangalia Game ya Ngao msimu jana goli la kwanza la Mayele.
ℹBaada ya ujio wa Gamondi,Na falsafa yake ya one touch football jina lake la kwanza alilolipata ni Khalid Aucho kwa maana nayeye Muumin wa Mchezo huo.
ℹNi ngumu kumuona Aucho,Akiimbwa saaana maana inahtaji jicho la ziadi kuona anachokifanya ndano ya uwanja la sivyo utaishia kusema wa kawaida.
ℹHakabi saana wala sio mtu wa man to man Marking ila ubora wake upo kwenye kuziba mianya ambayo wapinzani wanapenda kuitumia ndo maana haishangazi kuona inapgwa Pe*******on au kros ukakuta anaokoa Aucho.
ℹKWenye Falsafa ya Bwana Gamondi Unahtaji sana Umahiri wa viungo 3 kati kati ya kiwanja👇
✔Controller
✔Defender
✔Creator
ℹSifa ya kwanza utamkuta Aucho,Sifa ya pili utamkuta Mudathir na sifa ya tatu utamkuta Maxi Nzengeli na iyo ndo Tafsir ya kwanini wanatumika wao mbele ya viungo wengne.
ℹAucho hafungi magoli wala sio mti wa zizou style wala Mzee wa Vidalizi,ila akimua kuuchukua mchezo unaweza kuishia kuwalaumu Wachezaji wa Timu pinzani kwa Uvivu.
ℹHuyu Huyu Khalid Aucho ndiye Ufunguo na mbeba maono wa Falsafa ya Gamondi k**a anavyofanya Chini ya Micho akiwa na Uganda Cranes.
KHALID AUCHO "THE TANK " kwenye io The Tank ongeza na neno "GAME CONTROLLER "
from
zizy_sports