03/03/2024
JPILI NJEMA! ZABURI 121
WIMBO MPYA! Hakika nimekuwa k**a mnyama wala si mtu, sijui kitu! Wala sina hata ufahamu wa mwanadamu, sijui kitu!x2. maana sikujifunza hekima,wala maarifa ya, kumjua Mtakatifu! :Ndipo nilipokosa heshima, na uso wangu haya, japo nataka umaarufu!x2. Nilipo iona amani ya wasio haki, niliwaonea wivu! Katika kufa kwao hao wasio haki, hawana maumivu! KIBWAGIZO: (katika taabu k**a watu u, hawamo! Wala hawapati k**a watu u, mapigo!x2) KIITIKIO: Hata nilipoingia katika, PATAKATIFU, pa MUNGU! Nikatafakari mwanzo na mwisho wao, WAOVU!X2 kumbe Mungu huwaweka, penye uterezi, nakuwaangusha! Namna gani wamekuwa ukiwa hawajiwezi, huwaaibisha! X2(rudia kibwagizo, malizia na kiitikio).coming soon! Call: 0657747584