K-fani maphotos

K-fani maphotos like this page for nice photos ucheki picha zangu nawe unakalibxha na zako we 2maga one love Khalfani john

10/01/2018
25/12/2017

ELIMU NDANI YA BURUDANI.

Kalamu yangu.

16/10/2017

BLOOD MOON 06
|||||||||||||
BY::

|||||||||||||||
K-FANI J.RUMAMBO
Contract: 0674873152::0787995803
Whatsap:0674873152
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||

*****ILIPOISHIA***************
"Hakika kwa jambo hili moon itafanya damu kumwagika sana. Itabaki kwenye Kumbukumbu na vita hii itaitwa BLOOD MOON kwakuwa moon ndio chanzo cha damu kumwagika"Miungu wale watatu waliongea na kuipa jina vita ileee
*********************************
|||||||SONGA NAYO|||||||||||||||||||||||||||
Miaka ikapita, karne zikapita tunatoka mwaka 1678 mpaka mwaka na karne hii tunayoishi
mwaka 2020 katika jiji la Italian kwenye mji mkuu wa nchi hiyo uitwae romaa
ilikuwa majira ya asubuhi na mapema nyumbani kwa FRANK aliyekuwa anaishii na mtoto mmoja wa kiumee na mkewe aliyeitwa Sarah
mkewe frank alikuwa mjamzito na alikuwa kabakiza k**a wikii moja ajifungue
Siku hiyoo wakiwa wapo nyumbani k**a familia
wakiwa wamekaa mezani wakipata breakfast, kwa frank ilikuwa ni Siku yakee ya mapumziko
hakwenda kazini kutokana na na kuomba Siku hiyoo aitumiee akiwa na familia yakeee
Frank alikuwa ni afande wa jiji la romaa
alikuwa ni afande mchapa kazi kiasi kwamba asipokwenda kazini basii lazima ma patina wake anaokuwa nao kazini wamtafuteee
kwakuwa Siku za kujifungua kwa mkewe zilikuwa zimekaribia
Aliomba ruksa kazini, kwa bahatii nzurii akapewa
Hivyo kitu cha kwanza alichowaza kukifanya Siku hiyoo ni kumpeleka mkewe crinic maana wiki moja sio mbalii
Walijumuika k**a familia kupata chai ili waweze kupata nguvu za kufanya mambo menginee
wakiwa busy na kunywa chai Mara ghafla walisikia kishindo juu ya paa ya Nyumba yao
ilibidi frank achukue jukumu la kwenda kuangalia kuna ninii
Alipofika juu ya paa yao hakuweza kuona kitu chochotee aliangaza kuliaa na kushoto huenda akaona kitu kilichogonga kwenye paa lao hakuona kitu
Aliamua kurudi ndani alipofika akajumuika na familia yakee kwenye kupata chai
Wakiwa wanakunywa chaii, chini ya meza kulionekana kuna kitu kikitembeaa kufuata usawa alipokaa mkeee wa frank, Sarah
Aliyekuwa mjamzitoo
Naam kitu chenyewe kilichokuwa kina mfuata Sarah kwa chini, hakikuwa kinginee ilikuwaa nii Moon ilee iliyopoteaga mwaka 1678 kwenye vita kubwa kati ya Edward na William
toka miaka hiyoo hakikuweza kupata mtuu wa kukimiliki sasa Leo hii kwenye dunia ya kisasa
Kinaoneka kwenye Nyumba ya frank tena kikienda alipo mama mjamzito ambaye nii sarah
Baada ya moon kutembea tembea pale chini hatimae ilimfikia Sarah .
Aliyekuwa kakaa kwa kujiachia,. maana alivaa kigauni kifupi kilichomfikia kwenye magoti, Alafu mkao wake aliokaa alipanua mapaja na kupelekea kuacha uwazii franii
Baada ya moon kufika kwenye usawa wa mapaja ya Sarah kikaanza kutoa mwanga, Mwanga ambao ulikuwa sii wa kawaidaa
Baada ya kutoa ulee mwangaa kikaingiaa kwa spidi ya ajabu kwenye sehemu ya uzazi ya Sarah,.
:Sarah akiwa anaendelea kunywa chai, alihisi k**a kitu kimeingia kwenye tumbo lake na kuanza kukoroga
Mara ghafla akaanza Kuhisi mtoto tumboni anatembeaaa
"Ooooh. tumbo languu". Sarah alilalamika kwa maumivuu
huku akishika tumbo lakee
Frank na mwanae mkubwa wa kiume hawakujua kwamba Sarah kaingiwa na kitu cha ajabuu
wao walijua ni tumbo la kawaida tuu. wakiwa bado wanajadiri kuhusu kuumwa ghafla kwa Sarah
Sarah alisimama huku akiwa kashika tumbo lakee lilizidi kuongezeka ukubwaaa.
Sarah alipata maumivu makali sana sehemu zake za uzazii
Kitu kilichompelekea kupoteza fahamuu zakee, hakuwa na mawasiliano na watu wa duniani
Alikuja kuzinduka baada kusikia kelele za mototo akiliaa.
Aliyafumbua macho yakee kwa shida na kukutana na Dari jeupe alipopepesa macho yake vizuri akagundua yupo hospitalini
Kelele za mtoto kuliaa zilipelekea Sarah kuangalia pembeni., Alishangaa alipomwona mtoto mchaanga akilia
Aliangalia tumbo lake na kukuta lipo fratii inaamaana yulee mtoto nii wa kwakee, aliachia tabasamu hafifu kutokana na kuchoka pamoja na maumivu anayo yahisi
Dakika chachee baada ya Sarah kuzinduka alishuhudia mlango ukifunguliwaa na kuingia nessi , akiwa kaongozana na mtu
Sarah alimwangalia yulee MTU aliyeongozana na ness
Alitabasamu baada ya kugundua ni mumewee
Frank alifurahi baada ya kuona mkewe akiwa mzima kabisaa
tofauti na mwanzo alipomleta hospitalini hapoo
Furaha yake ilizidi pale alipoangalia kwenye vitanda vya kuwekea watoto wachangaa.
Aliona kuna mtoto japo hakujua mtoto ni waaina ganii
Alisogea mpaka kwenye kitanda alicholazwa mkewe
"Hongera mkee wangu kwa kunipatia mtoto mwingine japo njia uliyomleta ilikuwa hatarishi kwakoo". Frank Aliongea kumpa pongezi mkewee, huku akimshika mikono yakee na kuiweka kwenye mashavu yakee huku akiipiga mabusu. mvurulizoo
"Kwani una maana gani kusema njia hatarishi na mbona Siku zangu za kujifungua zilikuwa badoo wiki mojaa". Sarah aliuliza swali kwa mumewe
"Hilo swali uliloniuliza nami nilitaka kukuuliza . hivyo hivyoo
maana madaktari wamesema ukijifungua mtoto kabla ya Siku zake kufikaa, inaweza kusababisha mtoto kuwa na mapungufu mwilini". Frank nae aliuliza swali kwa mkewe na kuweka wazi maneno alioambiwa na madaktarii
Frank pamoja na mkewe Sarah wakiwa kwenye taharuki, walianza kusikia mtoto akiliaaa
Ilibidi frank akamchukuee ili amkabidhi mama mtuu
Ajabu frank alipomgusa yule mtoto alirushwa k**a kapigwa na shotii za umeme
Mtoto kitendo cha kuguswa alianza kubadirika machoo,
macho yake yalikuwa na rangi mbili blue na kijani huku katikati ambapo kunatakiwa kukaa kiini kulikuwa haku kituu.
Kitendo kilee Sarah hakukiona kwakuwa yeye aliangalia upande wa pili wa kitandaaa
Mtotot alizidisha kelele za kulia
Nessi aliyekuwa anapita kwenye kordo hiyoo aliweza kusikia kelele zilee,
Ilibidi aingiee kuangalia kunanii
Alimkuta mtoto akiwa analia huku sarah akijitahidi kuinuka ili akam'bebe mwanaee
Nesi alimchukua yulee mtoto na kumpeleka kwa mama akee ili akanyonyee,
Kitendo kilee kwa frank aliyekuwa katupwa nyuma ya kabati, kilimshangaza sana mbona yeye alipomshika mtotot yulee alirushwa
Sasa mbona nesi hajarushwaa
Alijiuliza bila kupata majibu sahihi
Nesi baada ya kumpatia Sarah mwanae alianza kutoka njee, lakini kabla hajatoka njee
Alimwona frank akijinyanyua kutoka pale alipoangukiaa
"Oooh. frank nini kimekutokeaa". Nesii aliulizaa akiwa kwenye mshangaooo
"Usijari ni kaajari kadogo tu. niliteleza kipindi namfuata mwanangu. ila nipo sawaa". Frank alitiaa uongo
"Baaa. Richard kuwa makini mumee wangu. ona sasa umeumiaaa, samahani nesii naomba umpatie Huduma ya Kwanzaa tafadhalii". Sarah alimtaka mumewe awee makini
baada ya hapo frank alikwenda kupata Huduma ya Kwanzaa
Alienda kuulizia k**a anaweza kuondoka na mkewee akajibiwa mpaka keshoo
Alienda kumuaga mkewe huku akimwambia awee makini na mtoto
Frank alienda nyumbani kwake
Alimkuta mwane mkubwa akiwa kwenye utafiti wakee,
Maana Richard alikuwa daktari wa wanyama
"Unafanya kazi mpaka nyumbaniii". Frank aliuliza swali kwa mwanae
"Hapana baba unajua kuna kitu hapa kina nitatiza, Leo nikiwa kazini kaletwa paka akiwa kafaa sasa nilipopima damu yakee nimeona kuna mchanganyiko ambao sio wa kawaida hapa ndo najaribu kuufanyia kazi ili nijue ni sumu ya aina gani iliyoweza kumuua huyu paka". Richard alimjibu baba ake bila ya kumwangalia usonii
"Sawa wee endelea ngoja Mimi nikalale maana nimechoka Sana'a". Frank alimwambia mwanae huku akishika njia ya kwenda chumbani kwakee
"Alafu hali ya mama inaendeleajee". Richard aliuliza swali
"Yupo salama na kajifungua mtoto wa kiumeee. keshok ndo anaruhusiwa kurudii". Frank alimijibu na kwenda chumbani kwake kulala,
Richard aliacha kabisa na kitu alichokuwa anakifanya kutokana na furaha baada ya kusikia mama akee kajifungua mtoto wa kiumee
Alifurahi sana maana alitamani kuitwa kaka
Alienda kulala huku akiwa na furaha isiyokuwa na kifanii.
Kesho yake asubuhi na mapema waliamka na kwenda kumchukua Sarah kutoka hospitalini
mtoto aliyezaliwa na sarah alikuwa mzuri sana,
Lakini walishangaaa mtoto huyo kuwa na nywele mpaka usoniii
Alafu macho yakee hayakuwa ya kawaidaa.
*********************************
Maisha yalizidi kusonga mbele huku maajabu aliyokuwa anayaonesha mtoto wa saraha waliyempa jina la zudric,
yakizidi kuwashangaza watu
miaka ikakaitika bila ya matatizo kutokea hata zudric alikuwa kasha kuwa mtoto mkubwa
Alitiimiza miaka 18,
Mpaka umri huo hakuna aliyejua k**a zudric ana nguvu za moon
Wengi wa watu walimpenda kutokana na maajabu yake.
*********************************
ndani ya msitu uliopo njee kidogo ya mjii wa Roma
kunaonekana kuna viumbee watatu wakiwa wamekusanyika sehemu moja
walionekeana. k**a wanatafua kituu hivii.
Walikuwa ni wale wolfu watatu waliotumwa kuitafuta moon
sasa walikuwa wameshaingiaa kwenye jiji la romaa baada ya kunusa na kuhisi huenda moon ikawa katika jiji la romaa
walionekana kuwa bizee kuitafuta kwenye msitu huoo
Baada ya kuitafuta bila mafanikio walitoka kwenye msitu wakiwa na maumbilee ya kimbwa mwitu
Walitoka mpaka ilipo bararbara inayokwenda kwenye mjii mkuu wa Italy,
Walipofika kwenye barabara wakajibadili kutoka kwenye umbwa mwitu na kuwa binadamuu
"Jamani kwakuwa hatujui moon IPO sehemu gani itatubidi tutawanyikee, na kilaa mmoja wetu ahakikishe kwa kila Siku anaambukiza binadamu kumii. ili tuikuzee familia yetuu". Aliongea mmoja wapo aliyeonekana k**a kiongozi,
Wenzake waliitikia na kwa pamoja wakaanza safari ya kuelekea sehemu tofauti tofauti ili waweze kuambukiza binadamuu kuwa mbwa mwituu
**********************""""*********

itaendeleaaa

27/09/2017

MTAA WA TATU (22)
(chombezo)
Age 18
By_____>Hafidhi j Ikram
Whatsapp_____>0675082390
/////////////////////-------------------
Tulipoishia
Jana
Zuwena hakuweza kuamini macho yakamtoka pima
Baada kukuta miili ya maafande imelaliana hovyo
wakiwa hawana tena uhai
si afande Ngogo wala nani wote wamechinjwa,
Wananchi walijazana na kuanza kuulizana
“hii imekuwaje polisi wote hawa wameuwawa"...
“yani sijui nisemeje
Polisi walikuwa sijui wanatokea wapi,
Sasa wakati wanapita hapa kuna kijana mmoja hivi shalobaro tu akapishana nao
Ghafla bin vuu yule sharo akaanza kutembeza kichapo kwa maafande wale. Mi nilijuwa bongo movie kumbe wanapigana kweli yule sharo alikuwa na visu k**a viwili.
Basi akatumia hivyo kuwachinja,
Nikaitoa simu yangu kushort video nikashort,
”embu tuone hiyo video"
Mimi nitumie whatsapp kaka"
Baada jamaa kusema kashort tukio zima kila mmoja akata aone mwingine atumiwe
Jamaa akasema
“ningewatumia tena mngeona tatizo yule sharo kasepa na simu yangu
kudadeki zake kanipiga zinga la mtama, na kuniambia
“lete simu lasivyo nitakuuwa.
Nikaona mmh!
Nisije kuchinjwa bure nikampa mwenyewe"
Zuwena hakuwa na jinsi zaidi ya kuitoa simu yake na kumpigia
Hafidhi majibu yakaja simu ya
mteja unaempigia haipatikani kwa sasa
jalibu tena baadae.
Zuwena akachoka hoi akamuuliza yule kijana aliyekuwa akisimulia tukio zima
“wee kaka umesema huyo
muuwaji kaondoka na simu yako?"
“ndio Dada yangu yani dahaa
simu nimeinunua juzi tu shilling laki
nane jamaa kaibeba"
jamaa akaongea hivyo huku machozi yakianza kumtoka,
“basi usilie nipe number ya simu yako
niweze kumpigia"
Jamaa akataja number za simu
Zuwena akapiga kwa bahati nzuri simu inaita.
Zuwena akaenda mbali kidogo na pale
huku akisikilizia k**a simu itapokelewa
ni kweli simu ikapokelewa
na wakati huohuo defender za polisi
k**a sita hivi zinaingia polisi
wakaruka kutoka kwenye magari yao
na kulizunguka eneo zima,
Afande mmoja akainama ulipolala mwili wa afande Ngogo na kuokota kitu k**a
kikaratasi hivi,
Akakifungua kilikuwa kidogo sana sema kikawa kikubwa baada kukikunjua
“nafahamu fika ni jinsi gani
mtakuwa na simanzi baada kuwauwa panya wenzenu. Naomba mtambuwe kitu kimoja
mwisho wa mchezo huu
mtakuja kupata matokeo. Nyie endeleeni
kuk**ata vibaka wezi
pigeni watu wenye kufanya maandamano
Msitake kuingia kwenye mkono
wa Mtaa wa tatu mimi ni zaidi ya chatu
nang'ata natafuna nameza.
Yeyote atakae nifatilia lazima auwawe"...
Barua ikaisha hivyo
“Aisee afande Agnes
inaonekana huyu jamaa anajiamini sana mpaka anafikia hatua ya kuitisha serikali"
“ndio maana yake sema muache aneng'eneke (One day) ipo siku moja tutamnasa tu ndio atajuwa kuwa serikali ina mkono mrefu
pumbavu zake"
Afande Agnes akaongea kwa hasira.
Zuwena nae akaisikilizia simu mpaka ikakata.
Na kuamua kupiga tena hatimae ikapokelewa
“Zuwena nini shida? nini tatizo?
Unataka kitu gani kwangu please tulia nyumbani usinipigie simu wala usitake kufahamu wapi nilipo
ukidadisi sana nawe utauwawa!"
Hafidhi aliongea hivyo kwa sauti ya ukali kisha akakata simu,
Habari zikatangazwa kila kona ya nchi
baada muuwaji kufanya
mauwaji mengine tena safari hii ya kutisha
Zaidi kauwa maafande kumi
watano kituoni
watano waliotoka kumtafuta wakakutana nae njiani akawachinja wote
kijana mwenyewe picha yake ni hii.
Ni kijana mdogo sana sema mambo yake ni hatari tupu"
“Toba"...nini hiki (Why)?
mama Hafidhi nini mwanao anafanya, hii ndio kazi aliyopewa na Ankor wake sio?
Niambie mke wangu kwanini mwanetu anauwa kipi kimemsibu?"
Mzee J Ikram aliongea kwa jazba kubwa baada kuona taarifa ya habari kuwa mwanae ameuwa tena polisi kumi.
Mkewe hakujibu kitu akabaki kulia tu
maana Hafidhi ndio mtoto
wa pekee leo hii kageuka kuwa muuwaji
itakuwaje k**a akik**atwa hukumu yake ni kunyongwa au kufungwa kifungo cha
Maisha jela.
“hapana siwezi kumuacha mwanangu
ateketee kwa mambo k**a haya
lazima nifanye kitu aisee"...
Akaitoa simu yake na kumpigia sijui nani
sauti upande wa pili ikasikika
“halloo mzee shikamoo vipi wazima huko?"
“marhabaa kijana wangu
Dennis kiupande wetu si wazima ila kwa upande wa kijana wako
Mambo si mambo kabisa"
“nani? Hafidhi au"....
Dennis akauliza hivyo,
“ndio ni Hafidhi binafsi amegeuka kuwa gaidi mpaka sasa kauwa polisi kumi na moja.
Dennis nakuomba please naitaji msaada wako uje kumzuia mwanafunzi
Wako asiendelee kufanya ugaidi"
“usijali baba yangu kesho
Nitakuja na vijana k**a watatu ni wakali zaidi yake tutamzuia tu,
Ondoa shaka kabisa kila kitu kitakwisha"
“nitashukuru sana kijana wangu
k**a kazi ikienda vizuri nitakupa cheo kikubwa sana"
Mzee J Ikram akakata simu
kabla hajaiweka mfukoni simu ikaita
akaipokea
“halloo Assalamu alaykum?
“waaleykum ssalamu
Ewe baba yangu"
Mzee J Ikram akashtuka na kuuliza
“wewe ni Hafidhi? please mwanangu rudi nyumbani uje kuniambia hao watu wamekufanyia kitu gani, tutawak**ata kwa mbinu za Kijeshi
kisha wajaze p**a kwa kisoda
au wale embe na kokwa lake,
Hafidhi mwanangu si unazifahamu vyema adhabu zetu ehee
basi njoo nyumbani Baba",,,,
yani aliongea huku kijasho kikimtoka kuonyesha ni jinsi gani anaitaji mwanae
arudi nyumbani.
Anampenda kuliko kitu chochote.
Mkewe akamnyang'anya simu
na kuongea yeye,
“Hafidhi baba uko wapi mwanangu?
Mama yako kila sekunde nalia nashindwa kula wala kulala"
“pole sana mama yangu"
Kisha akakata simu huku wakaishia kusema
halloo,,,,halloo,,,
Simu ishakatwa kibaya zaidi katumia simu ya mezani.
Ndani ya Yombo vituka tunamuona
Hafidhi akiwa anaongea na mama mmoja hivi.
“sawa kijana chumba umepata sema
ndani ya nyumba hii kuna mashart machache tu.
Utakiwi kutumia kilevi cha aina yeyote ile yani kuvuta bange sijui sigara"..
“usijali mama yangu yani hivyo vitu situmii kabisa"
“basi sawa subiri nikuandikie mkataba wako si umesema unahamia leo ehee?
“ndio nahamia leo maana ndio kwanza nimetoka kijijini nisije kulala stendi bure"
“inamaana hapa mjini huna ndugu
kabisa?"
“ndio sina ndugu
Nimekuja mjini kusaka maisha si naweza kupata kazi mama yangu ehee"..
“ndio kazi unaweza kupata ni uwezo wako tu na elimu yako, ehee unaitwa nani?"
Mwanaume akachekecha akili haraka akajibu
“naitwa Eddy Smith"
Basi yule mama akaandika
baadhi ya maneno kwenye karatasi ya mkataba kisha akamkabidhi
na funguo
“hizi ndio funguo za chumba chako
Kuhusu ratiba ya kufagia uwanja au kudeki choo utaenda kusoma pale chooni.
Kila chumba kina number imeandikwa kwenye mkataba"...
“sawa mama yangu nitafanya hivyo"
Hafidhi akaitikia na kuondoka zake,
Mwanaume akakodi pikipiki mpaka Ubungo kisha akaingia kwenye buss ya mwendo kasi
“kusema kweli dunia imekwisha zama zilizotabiriwa kuja ndio hizi yani kuna watu wanajiita manabii sijui mitume
Wakati mtume wa mwisho ameshakufa na hakuna tena mwinginewe mzuri k**a yeye"...
Ni mzee mmoja hivi alikuwa akiongea maneno hayo ndani ya buss
“wee mzee embu tunyamazie bwana naona unatupigia kelele tu",,,,
Ndani ya gari ikawa fujo mzee akatoka kwenye kuhubiri dini kaingia kwenye
Siasa
“unajuwa watanzaina walio wengi ni mambumbu inawezekana vipi kutaka kuwapa nchi wachaga,
Kwanza wachaga kwa hela wee wakipewa hii nchi hampati hata shilling kumi
Utasikia mama mia taka hogo"
Kuna kijana mmoja ambae ni mchaga akanyanyuka na kumkunja yule mzee
“wee mzee k**a ulitaka kuvunjiwa heshima
Mimi nakuvunjia
heshima kudadeki zako unaleta dharau na makabira ya watu sio?"
Hakika kijana yule aliongea povu likimtoka ikionyesha kachukia kuambiwa wao wachaga wanapenda pesa.
“tafadhali kijana niachie kabla sijaakurukia kichwa ohoo niachie nasema"..
Askari wa usalama aliyoko ndani ya gari hiyo akaja na kutuliza ghasia zile
Askari akamsihi yule kijana kwa kumwambia,
“wewe embu muachie kwanza huyu mzee"
Kijana hakukubari
“nitamuachaje bwana wakati kanitusi"
gari ikafika kituo kimoja ikasimama ikabidi wote wapigwe pingu na kushushwa safari kituoni wataenda kujibu mash*taka yao.
Ndani ya gari kukawa kimyaa mpaka inafika Kariakoo
Hafidhi akashuka na kuanza kukatiza mitaa
sijui kapajuwaje yani kila mtaa kila kichochoro akaingia,
Ndani ya gorofa moja hivi mwanaume akaingia na kupandisha ngazi
ndani ya chumba kimoja kulikuwa na watu wawili wakibishana
mmoja ni mzee wa makamo kwa kukadilia umri wake miaka k**a hamsini au stini.
mwingine ni binti mdogo tu
Mwenye umri wa miaka k**a ishillini
“kusema kweli binti yangu huyo kijana mimi simuhitaji kabisa na siku nikimuona amekanyaga hapa nitampasua kichwa"
“lakini baba yule ndio mpenzi wangu chaguo la moyo wangu"
“shatapu funga bakuri lako mwana izaya mkubwa wee mtoto huna hata haya, eti chaguo langu"
wakati wanaongea ghafla wakashtuka mlango ukipigwa teke akaingia kiumbe usoni amevaa maski nyeusi juu kavaa kofia aina ya pama,
“wee nani?
Yule mzee akaongea kwa kubabaika huku akifunua mto bila shaka alitaka kuitoa bastora, yake
Kiumbe chenyewe hakuwa mwingine ni
Hafidhi j Ikram kwa kasi ya kimbunga akamuwai yule mzee na kumuwekea kisu shingoni.
Binti yake akataka kukimbia kikarushwa kisu na kwenda kukita mlangoni.
“binti tulia tafadhali rudi hapa vinginevyo utamkosa Baba yako kuja hapa"....
Kwa sauti ya ukali
Mwanaume akaongea hivyo.
Yule binti akarudi kwa mwendo wa kutetemeka"
Hafidhi akaingiza mkono kwenye mto na kuichomoa bastora
“wee nani kwani?
Unataka nini kwangu?"
“usiwe na haraka ya kutaka kunijuwa mimi nani cha umuhimu naitaji zile pesa kiasi cha shilling million mia saba ziletwe hapa kisha utafahamu mimi ni nani"...
Hafidhi aliongea hivyo sijui hizo pesa kazijuwaje na huyu mzee kamfahamu vipi itakuwa barua ina siri nzito.
“pesa gani mbona mimi sina kitu"
Hafidhi akamshika yule binti na kufanya k**a anataka kulikata ziwa la binti yule
Kwa kisu.
“hapana kijana usifanye hivyo
huyo ni binti yangu ndio kila kitu kwangu please muache hizo
Pesa
nakupatia sasa hivi"....
Yule mzee akaongea hivyo huku akinyanyuka na kuingia kwenye chumba kimoja hivi na kutoka akiwa na begi,
“haya bibiye pokea hilo bag
Kisha fungua hiyo zipu nione"
Basi binti akafanya k**a alivyo ambiwa
Hafidhi baada kuridhika akalivaa lile bagi mgongoni na kuivua mask yake
Hakika mzee akash*tuka na kutamani hata kukimbia
“sikia nikwambie kitu mzee leo sijaja hapa kwa nia ya kuchukuwa roho yako.
Nimefata huu mzigo tu.
Sema una binti mzuri sana"
Hafidhi akamsogelea yule binti na kumpa mdomo
Ajabu binti akafumba macho na kuachia rips za midomo yake wazi.
Basi mwanaume akafanya aramba
Ahaaaaaa,,,ohooooooo binti akagugumia kwa raha
“binti unaitwa nani?
“naitwa Subira"
Mtoto kwa sauti tamu yenye kumtoa nyoka pangoni akajibu hivyo.
“basi chukuwa businesse card yangu hii nipigie baada nusu saa"
Subira akaipokea na kusema
“sawa mpenzi
Ving'ora vya magari ya polisi vikasikika kwa mbaali
Hafidhi kutizama hivi yule mzee hayupo kwenda kufungua mlango haufunguki umefungwa kwa nnje si kaleta mapenzi kwenye
kazi
Mwanaume akadata aisee

````````````````````````
https://m.facebook.com/storyza.k.fani
ENDELEA KULIKE HII PAGE KWA MASTORY ZAIDI GUSA HAYA MAANDISHI YA BLUE KISHA LIKE PAGE HIYO
Je nini kitaendelea?"
Je Hafidhi atatoka
Usikose kigongo hiki ngoma bado mbichi kabisa

my health
08/09/2017

my health

25/08/2017
04/08/2017

KIDAWA MALKIA WA MAJINI
EP(25)
Munzi:K-FANI J.RUMAMBO
Contrac:0711516586::0674873152::0787995803
Whatsap:0674973152
Email:[email protected]
^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^***************************************

Address

Khalfanimaphotos7@gmail. Com
Dar Es Salaam
KHALFANI

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when K-fani maphotos posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category