12/03/2026
🏡 MAHENGE FARM 🏡
Kilimo cha kisasa kinachojihusisha na upandaji wa mazao, ufugaji endelevu, na uzalishaji wa bidhaa bora za chakula kwa ajili ya soko la ndani na nje. Tunazingatia mbinu rafiki kwa mazingira na teknolojia za kisasa za kilimo.
🌱 TUNAKODISHA TUNAKODISHA TUNAKODISHA 🌱
MASHAMBA / ENEO….KWAAJILI YA KILIMO NA UFUGAJI
1. KULIMA MBOGA MBOGA
( MATIKITI 🍉, NYANYA 🍅, PILIPILI🌶️, N.K )
2. KUNYWESHA MAJI MIFUGO
(NG’OMBE 🐄,MBUZI 🐐,KUKU 🐓,BATA 🦆,NGURUWE 🐖)
3. KULIMA ZABIBU 🍇
5. KULIMA ALIZETI 🌻
6. UFUGAJI WA NYUKI 🐝
7. KULIMA MAHINDI 🌾
8. HUDUMA YA MAJI SAFI YASIYO NA CHUMVI 💦
9. UMEME UPO, KISIMA NA PUMP YA 3-PHASE
* Upatikanaji wa mboga mboga na Mahindi katika kipindi chote cha mwaka
10. ASALI IPO
🔶UDONGO UMEPIMWA NA AGRONOMIST NA KUFANYIWA
SOIL CORRECTION TAYARI KWA MATUMIZI YA KILIMO NA UFUGAJI
🔶UKUBWA WA ENEO NI ZAIDI YA HEKARI 50
TUNAPATIKANA MPUNGUZI, DODOMA📍
ENEO LIPO UMBALI WA KILOMETERS 40
KUTOKEA DODOMA MJINI, BARABARA INAPITIKA VIZURI
Instagram / TikTok
Contact ☎️ 0754 038 779 / 0678 435 535 / 0623 429 892