26/05/2026
๐จ๐๐๐ผ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐
kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, anatarajiwa kutua nchini Tanzania muda wowote kuja kukamilisha hatua za mwisho za kujiunga na mabingwa wa Tanzania, Young Africans
Inaelezwa kuwa mazungumzo kati ya pande zote mbili yamefikia hatua nzuri, huku Yanga wakiamini nyota huyo mwenye uzoefu mkubwa barani Afrika atakuwa sehemu muhimu ya kikosi chao msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa.
Chanzo cha karibu na dili hilo kinaeleza kuwa kilichobaki kwa sasa ni kukamilisha baadhi ya taratibu za mwisho.
JE, MASHABIKI WA Young Africans S.C. MPO TAYARI KUMPOKEA TENA Stephane Aziz Ki?
Follow