22/02/2024
SOMA 😭😭🙏
Tajiri mmoja alichungulia dirishani kwake na kumwona mtu akiokota kitu kwenye p**a lake.
Alisema, "Asante MUNGU mimi sio maskini."
Maskini alitazama huku na kule na kumwona mtu aliye uchi akifanya utovu wa nidhamu mtaani.
Alisema, "Asante MUNGU sina wazimu."
Yule kichaa alitazama mbele akaona gari la wagonjwa likiwa limembeba mgonjwa.
Alisema, "Asante MUNGU mimi sio mgonjwa."
Kisha mtu mgonjwa hospitalini akaona toroli ikipeleka maiti kwenye chumba cha kuhifadhia maiti.
Alisema, "Asante MUNGU mimi sijafa."
Ni mtu aliyekufa tu ambaye hawezi kumshukuru Mungu (Zaburi 115:17).
Kwanini usimshukuru MUNGU leo kwa kukupa nafasi ya kuishi siku nyingine
church of the Hory spirit ,Ngoigwa