Uwanja wa Imani.

Uwanja  wa Imani. KIJANA WA KIZANZIBAR

ZANZIBAR
TANZANIA

20/04/2026

jiunge nasi

Subscribe channel yetu ili uwe wa kwanza kupata darsa zetu, pia tunakuomba share sehemu mbali mbali kheyr kubwa itapatik...
20/04/2026

Subscribe channel yetu ili uwe wa kwanza kupata darsa zetu, pia tunakuomba share sehemu mbali mbali kheyr kubwa itapatikana.

SUBSCRIBE CHANNEL YETU YA ASW'HAAB QUR-AN WA SUNNAH

26/03/2026

JITIBU KWA HABBAT SAWDA NO.2
Kunyonyoka Nywele

Saga unga wa Habbat-Sawdaa katika juisi ya chirichiri pamoja na kijiko cha s**i nyepesi na kikombe cha mafuta ya zeituni, halafu sugua kichwani kwa mafuta hayo kila siku jioni pamoja na kukiosha kichwa kwa maji na sabuni kabla ya kupaka.

26/03/2026

DARSA YA MIRATHI NO.3

Sharti za kurithi
1.Kuwa na uhakika wa kifo cha mtu anae rithiwa, ima
kwa kushuhudia, au kwa kuhukumu kadhi, mfano: kwa
kupotea mtu muda mrefu sana.
2.Uhai wa wenye kurithi ima uwe wa uhakika au kwa
kukadiria, mfano: mama mwenye mimba.
3.Kujuwa ilimu ya mirathi, kuujua upande wote wa jamii
itakayo rithi.

Sababu za kurithi
1.Kwa uhusiano wa kizazi (Jamii)
2.Ndoa
3.Mtumwa aliye wachwa huru

Nguzo za kurithi
1.Anaerithiwa awe ameshafariki
2.Kupatikane wenye kurithi
3.Kuweko na kitu cha kurithiwa mfano: shamba, pesa n.k.

23/03/2026

Vipele (Chunusi) Na Ngozi:



Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha Habbat-Sawdaa iliyosagwa, ½ (nusu) kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa, na ½ (nusu) kikombe cha s**i ambayo inatokana na juisi ya tofaha (apple). Paka katika sehemu inayotakiwa kabla ya kwenda kulala kila usiku mpaka vipele (chunusi) vitakapoondoka. Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki tatu na ni lazima uwekwe katika hali ya ubaridi.

24/02/2022

Kisomo kidogo

25/01/2022

WAUMINI MAHARI YAMEZIDIIII

04/11/2019

Haki ambazo zinaambatana na mali ya Marehemu
1. Kukafiniwa (kununua sanda), kuchimbiwa kaburi
na mambo ambayo yanahusika na maiti (katika
mazishi).
2. Kulipa deni adaiwalo.
3. Kutekeleza wasia ambao ameacha, na usizidi wasia
huo thuluthi moja ya mali.
4. Kugawanywa mali kwa wale wanaostahiki kurithi.
Sharti za kurithi
1. Kuwa na uhakika wa kifo cha mtu anae rithiwa, ima
kwa kushuhudia, au kwa kuhukumu kadhi, mfano: kwa
kupotea mtu muda mrefu sana.
2. Uhai wa wenye kurithi ima uwe wa uhakika au kwa
kukadiria, mfano: mama mwenye mimba.
3. Kujuwa ilimu ya mirathi, kuujua upande wote wa jamii
itakayo rithi.
Sababu za kurithi
1. Kwa uhusiano wa kizazi (Jamii)
2. Ndoa
3. Mtumwa aliye wachwa huru
Nguzo za kurithi
1. Anaerithiwa awe ameshafariki
2. Kupatikane wenye kurithi
3. Kuweko na kitu cha kurithiwa mfano: shamba, pesa n.k.
Mambo ambayo huzuiya mtu kurithi
1. Mtumwa harithi wala harithiwi, na iwapo amerithi basi
vyote alivyo vimiliki ni mali ya Bwana wake.
2. Muuwaji; mtu alieuwa kwa ajili ya kurithi, basi
hatopata kitu chochote katika mali ya yule anae mrithi,
kwa mujibu wa maneno ya Mtume Muhammad
(S.A.W)
" Hatopata muuaji mali ya katika mirathi ".
Imepokelewa na Muslim
Lakini kutokana na madhehebu manne yamekhitilafiana na
rai hii.
Hanafy:- Kila muuwaji atatoa kafara na atazuiliwa kurithi.
Malik:- Iwapo ameua kwa makusudi ndio harithi, la sivyo
basi atarithi.
Hanbal:- Kila muuwaji atadhaminiwa kwa dia;
Kisasi na kafara na hatorithi.
Shaffy:- Kuuwa kwa namna yoyote kutamfanya mtu
asirithi.
3. Kukhitilafiana kwa dini nayo ni: muislamu na asiye
kuwa muislamu hata k**a ni ndugu, haya ni kwa
mujibu wa maneno ya Mtume (S.A.W) " Hamrithi
muislamu kafiri wala kafiri hamrithi muislamu".
Imepokelewa na Bukhary na Muslim.
4. Mtoto aliezaliwa nje ya ndoa (isipokuwa ikiwa maiti
akiacha wasia).
Tofauti kati ya Mahruum na Mahjuub
Mahrum:- Ni mtu ambae amezuilika kurithi kulingana na
mambo yale matatu mf: mtumwa, muuwaji na utafauti wa
dini.
Mahjuub:- Kupatikana kwa mtu alie karibu zaidi na maiti
kuliko yule wa mbali mf: Babu harithi ikiwa baba wa
marehemu angali hai.
Daraja za wenye kustahiki kurithi
2. Aswabat nasabiya: hawa nikila ambae yuko karibu na
marehemu atachukuwa kilicho bakishwa na wenye furudh.
3. Aswabat sababiya: Naye ni mtumwa akiwa mume au
mke.
4. Aswabat m'utak: hawa ni jamaa wa mtumwa ikiwa
hayupo, basi hawa watarithi mahala pake.

30/04/2017

Can u PLS SHARE TO ALL MUSLIMS:
Beautiful Duaas from the Quran !!! ▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
❤For pious children:

رَبِّ هَبْ لِي مِنْ لَدُنْكَ ذُرِّيَّةً طَيِّبَةً إِنَّكَ سَمِيعُ الدُّعَاءِ‬‬
رَبِّ لَا تَذَرْنِي فَرْدًا وَأَنْتَ خَيْرُ الْوَارِثِينَ‬‬💙
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
💛For the one who is afraid :
رَبَّنَا لَا تُزِغْ قُلُوبَنَا بَعْدَ إِذْ هَدَيْتَنَا وَهَبْ لَنَا مِنْ لَدُنْكَ رَحْمَةً إِنَّكَ أَنْتَ الْوَهَّاب��ُ‬‬
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
🌷do you want shahada?say this Duaa:
رَبَّنَا آمَنَّا بِمَا أَنْزَلْتَ وَاتَّبَعْنَا الرَّسُولَ فَاكْتُبْنَا مَعَ الشاهدين
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
😓☝ ‬‬overwhelmed by life's problems? Say this Duaa:
حَسْبِيَ اللَّهُ لَا إِلَهَ إِلَّا هُوَ عَلَيْهِ تَوَكَّلْتُ وَهُوَ رَبُّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ‬ 🍃‬
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓ ‬‬
🌸 If you want yourself and your children to be regular in their salaat:
رَبِّ اجْعَلْنِي مُقِيمَ الصَّلاةِ وَمِنْ ذُرِّيَّتِي رَبَّنَا وَتَقَبَّلْ دُعَاءِ‬ 🍀‬
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
💓If you want your spouse and children to be Khair for you :
رَبَّنَا هَبْ لَنَا مِنْ أَزْوَاجِنَا وَذُرِّيَّاتِنَا قُرَّةَ أَعْيُنٍ وَاجْعَلْنَا لِلْمُتَّقِينَ إِمَامًا 🌺
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
💝 A blessed home:
رَبِّ أَنْزِلْنِي مُنْزَلًا مُبَارَكًا وَأَنْتَ خَيْرُ الْمُنْزِلِين��َ
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
😰👌 Keep the shaitaan away from you:
رَبِّ أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَاتِ الشَّيَاطِينِ وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَنْ يَحْضُرُونِ 💚
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓ ‬‬
💢Afraid of the torment of the hell fire:
رَبَّنَا اصْرِفْ عَنَّا عَذَابَ جَهَنَّمَ إِنَّ عَذَابَهَا كَانَ غَرَامًا 💦
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
🌻If you are afraid Allah may not accept your good deeds:
رَبَّنَا تَقَبَّلْ مِنَّا إِنَّكَ أَنْتَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ‬🍂‬
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
😔👆if you are sad, complain to none other than Allah:
إنما أَشْكُو بَثِّي وَحُزْنِي إِلَى اللَّه 🍃
▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓▓
☺☝send it to others and multiply your ajar !!! إنشاء الله.

Address

Zanzibar

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uwanja wa Imani. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Uwanja wa Imani.:

Share

Category